Mtoto wa Waziri Mkuu wa Zamani Edward Lowassa, Fred Lowassa ametangaza rasmi kurejea Chama cha Mapinduzi (CCM) siku ya leo.
Fred ametangaza kujiunga CCM, ikiwa ni kumuunga mkono baba yake ambaye karibuni alirejea kwenye chama hicho akitokea CHADEMA.
Mtoto huyo wa Lowassa amesema walikubaliana na familia kwa pamoja kuhusu Waziri Mkuu huyo Mstaafu kuhama CHADEMA huku akikanusha baadhi ya taarifa za mitandaoni kuwa wamefanya hivyo kutokana na usumbufu kutoka serikalini.
Fred ametangaza kujiunga CCM, ikiwa ni kumuunga mkono baba yake ambaye karibuni alirejea kwenye chama hicho akitokea CHADEMA.
Mtoto huyo wa Lowassa amesema walikubaliana na familia kwa pamoja kuhusu Waziri Mkuu huyo Mstaafu kuhama CHADEMA huku akikanusha baadhi ya taarifa za mitandaoni kuwa wamefanya hivyo kutokana na usumbufu kutoka serikalini.
No comments :
Post a Comment