Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla.
Pita kila siku kwa habari moto moto.
(This blog is about Tanzania and the world as a whole.
Pass-by everyday for breaking news).
***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Kwarara Msikitini
Dual Citizenship #2
Pemba Paradise
Zanzibar Diaspora
ZanzibarNiKwetuStoreBanner
Mwanakwerekwe shops ad
ZNK Patreon
Scrolling news
Tuesday, March 5, 2019
Wabunge CHADEMA wazidi kusota rumande!
Wabunge wawili wa CHADEMA, Susan Kiwanga wa Mlimba, na Peter Lijualikali wa Kilombero wamerudishwa rumande na mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro ambapo wanasubiri hadi Marchi 7, 2019 itatoa uamuzi wa dhamana yao.
Kiwanga na Lijualikali walifikishwa Mahakamani hapo jana ambapo kesi yao ilianza kusikilizwa kupitia kwa Hakimu Elizabert Nyembele.
Utakumbuka hadi sasa Mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko wako rumande kutokana na makosa ya kukiuka masharti ya dhamana.
No comments :
Post a Comment