Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, March 5, 2019

Wabunge CHADEMA wazidi kusota rumande!

Wabunge wawili wa CHADEMA, Susan Kiwanga wa Mlimba, na Peter Lijualikali wa Kilombero wamerudishwa rumande na mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro ambapo wanasubiri hadi Marchi 7, 2019 itatoa uamuzi wa dhamana yao.
Kiwanga na Lijualikali walifikishwa Mahakamani hapo jana ambapo kesi yao ilianza kusikilizwa kupitia kwa Hakimu Elizabert Nyembele.

Utakumbuka hadi sasa Mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko wako rumande kutokana na makosa ya kukiuka masharti ya dhamana.

No comments :

Post a Comment