Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, March 23, 2019

Zitto Kabwe na Maalim Seif wawasili jimbo la Chambani Mkoa wa Kusini Pemba!


Msafara wa Zitto Kabwe na Maalim Seif umeshaingia ukumbi wa Ngezi, jimbo la Chambani Mkoa wa Kusini Pemba. Zitto na Maalim ambao wameambatana na viongozi wa kitaifa wa ACT Wazalendo wamepokelewa na mamia ya viongozi wa wilaya ya mkoani wa ngazi mbalimbali.



No comments :

Post a Comment