Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Thursday, May 2, 2019

Vinginevyo mtatuona Wabunge wabaya - Nape Nnauye!

Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye (CCM), amewataka wabunge kuweka mguu sawa kuibana Serikali ili iongeze Bajeti kwenye Maji huku akisema vinginevyo watawaona Wabunge wabaya.

Ameyasema hayo bungeni leo Mei 2, wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Maji ambapo amesema ataunga mkono bajeti hiyo endapo serikali italeta mpango mpya wa kuongeza fedha kwenye bajeti ya wizara hiyo.
“Huu mfuko wa maji jadilianeni mnavyoweza hadi tuone kuna ongezeko la fedha za kutosha ili wananchi wetu vijijini wapate maji, vinginevyo mtatuona wabunge wabaya,” amesema Nape.

No comments :

Post a Comment