Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema kutenguliwa kwa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba ni matokeo ya mpagaranyiko ndani ya CCM na majibu ya waraka ulioandikwa na waliokuwa makatibu wakuu, Yusuph Makamba na Abdulrahman Kinana.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment