Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, July 22, 2019

Huenda Iran ikaongezewa vikwazo zaidi na Uingereza!

Serikali ya Uingereza inapanga kuiongezea vikwazo Iran, baada ya nchi hiyo kuiteka meli yake ya mafuta katika Ghuba ya Uajemi.

Gazeti la Daily Telegraph la Uingereza limeripoti kwamba Waziri wa Mambo ya Nje Jeremy Hunt huenda baadae hii leo, akatangaza hatua za kidiplomasia na kiuchumi zitakazochukuliwa dhidi ya Iran.
Uingereza, huenda pia ikaomba kurejeshwa upya kwa vikwazo ambavyo awali Iran iliwekewa na Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya. Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Heiko Maas ametahadharisha kwamba mzozo huo kati ya Uingereza na Iran unaweza kuongezeka.

No comments :

Post a Comment