Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, July 23, 2019

ZANZIBAR: ZFDA WAPIGA MARUFUKU BIDHAA ZENYE VIFUNGASHIO AINA YA BOMBA LA SINDANO!

Wakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA), imepiga marufuku uuzaji wa bidhaa za aina ya Chocolate na JuisI ambazo zimehifadhiwa katika vikasha vya aina ya bomba la sindano.

Marufuku hiyo imetolewa leo, Jumanne Julai 23 na Mkurugenzi wa Idara ya Udhibiti Usalama wa Chakula Zanzibar, Dkt. Khamis Ali Omar ambaye amesema bidhaa hizo hazikufuata utaratibu wa uingizwaji nchini.

Mkurugenzi huyo wa Mamlaka amesema bidhaa hizo zinazotoka China, zimeshaanza kutolewa sokoni baada kwa kupita katika maduka mbalimbali na wameshakusanya mabosi 20 ndani ya Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.

No comments :

Post a Comment