Watu 254 waripotiwa kukamatwa katika maandamano yanayoendelea nchini Ufaransa.
Watu 254 wakamatwa na jeshi la Polisi nchini Ufaransa katika maandamano ya vizibao vya njano yalioanza mwishoni mwa mwaka 2018.
Waandamanaji wa vizibao vya njano wanapinga kupanda kwa bei za bidhaa mahitaji na bei za mafuta.
Waziri wa mambo ya ndani wa Ufaransa Christophe Castaner amekemea kupitia vyomba vya habari kama Cnews, Les Echos na Europe 1 waandamanaji ambao amewataja kama waharibifu kwa kupelekea ghasia.
Waziri wa mambo ya ndani amewataja waandamanaji kama waharibifu kwa kuzuia vikosi vya uokoaji na zima moto kufanya kazi zao katika maandamano.
Watu 254 wakamatwa na jeshi la Polisi nchini Ufaransa katika maandamano ya vizibao vya njano yalioanza mwishoni mwa mwaka 2018.
Waandamanaji wa vizibao vya njano wanapinga kupanda kwa bei za bidhaa mahitaji na bei za mafuta.
Waziri wa mambo ya ndani wa Ufaransa Christophe Castaner amekemea kupitia vyomba vya habari kama Cnews, Les Echos na Europe 1 waandamanaji ambao amewataja kama waharibifu kwa kupelekea ghasia.
Waziri wa mambo ya ndani amewataja waandamanaji kama waharibifu kwa kuzuia vikosi vya uokoaji na zima moto kufanya kazi zao katika maandamano.

No comments :
Post a Comment