Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla.
Pita kila siku kwa habari moto moto.
(This blog is about Tanzania and the world as a whole.
Pass-by everyday for breaking news).
***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Kwarara Msikitini
Dual Citizenship #2
Pemba Paradise
Zanzibar Diaspora
ZanzibarNiKwetuStoreBanner
Mwanakwerekwe shops ad
ZNK Patreon
Scrolling news
Thursday, November 7, 2019
Zimbabwe: Madaktari 77 wafukuzwa kazi!
Madaktari 77 katika hospitali za Serikali wamefukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwa kukiuka amri ya Mahakama ya kuwataka kurudi kazini baada ya kugoma kwa miezi miwili wakitaka maboresho katika malipo ya mishahara
Mwezi uliopita, Mahakama nchini Zimbabwe iliwaamuru madaktari waliokuwa kwenye mgomo warudi kazini ndani ya saa 48, kwa madai kuwa mgomo wako haukuwa halali. Pamoja na hayo, wafanyakazi wa Serikali nao wameanza mgomo leo baada ya Serikali kushindwa kukidhi matakwa hayo katika maboresho ya mishahara kulipwa katika thamani ya Dola. Serikali imesema haina uwezo wa kulipa mishahara inayofuatana na thamani ya Dola ya Marekani.
No comments :
Post a Comment