dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, January 7, 2020

Breaking: Miguna azuiwa uwanja wa ndege wa Berlin!

Wakili wa Kenya mwenye utata Miguna Miguna, emedai kuwa mamlaka nchini Ujerumani imemzuia kuabiri ndege ya kuja Kenya.

Bw. Miguna amesema kuwa tahadhari imetolewa kwamba asiondoke uwanja wa ndege wa Berlin kuelekea uwanja wa kimataifa wa JKIA au nchi yoyote ya Afrika.

Ndege ya shirika la Lufthansa aliyokuwa aabiri kuja Kenya ilikuwa imepangiwa kuondoka nchini Ujerumani saa tano na dakika ishirini na kuwasili Nairobi saa tatu na dakika ishirini na tano za usiku, majira ya Afrika mashariki.


Hatua hiyo inajiri saa kadhaa baada ya mahakama ya juu nchini Kenya kutoa agizo la kuitaka serikali ya Kenya kutomzuia wakili huyo aliyefurushwa kurejea nchini humo.

No comments :

Post a Comment