Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, , leo Julai 29,2020 ameshiriki kwenye mazishi ya Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu Hayati Mzee Benjamin William Mkapa yaliyofanyika katika Kijiji cha Lupaso Wilayani Masasi Mkoani Mtwara.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiweka Udongo kwenye Kaburi wakati wa mazishi ya Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu Hayati Mzee Benjamin William Mkapa yaliyofanyika , leo Julai 29,2020 katika Kijiji cha Lupaso Wilayani Masasi Mkoani Mtwara.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza jambo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa mazishi ya Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu Hayati Mzee Benjamin William Mkapa yaliyofanyika , leo Julai 29,2020 katika Kijiji cha Lupaso Wilayani Masasi Mkoani Mtwara.
(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
|
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Friday, July 31, 2020
MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA SULUHU ASHIRIKI MAZISHI YA MZEE MKAPA!
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment