Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, January 18, 2013

Taarifa kwa umma: Maalim Seif aenda India

Maalim Seif Sharif Hamad


Written by   //  18/01/2013


 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, anatarajiwa kuondoka nchini leo jioni kuelekea nchini India kwa ajili ya ukaguzi wa afya.

Huu ni utaratibu wa kawaida kwa kiongozi huyo kwenda nchini India kwa ajili ya ukaguzi wa afya kila baada ya miezi sita, tangu alipofanyiwa operesheni ndogo ya magoti mwaka 2011.
Maalim Seif anatajiwa kurejea nchini mwanzoni mwa mwezi ujao.
Imetolewa na Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, 18 Januari 2013.

No comments :

Post a Comment