Written by Awami // 23/01/2013
Warioba: Tafadhali, Tafadhali, Tena
Tafadhali
Warioba umekuwa unawafikia viongozi wote walio stafu ili kupata maoni yao juu ya katiba mpya ,tunacho kukumbusha na kukusisitiza tume yako isije ikajifanya hamnazo na kujifanyakumsahau Aliyekuwa Rais wa Zanziba Mzee Aboud Jumbe kwa kutumia visingizio visivyokuwa vya ukweli ,Mzee Aboud jumbe akili yake ni timamu na mawazo yake ni muhimu sana katka mchakato huu wa katiba ,mchango wake ni huhimu zaidi kuliko hata baadhi ya viongozi wengine mliofika kuwahoji
Mnyonge mnyogeni lakini haki yake mpeni (Bila ya Mzee Aboud pasingekuwapo na CCM)
Chanzo: Mzalendo
Sorry guys for the problem encountered!
ReplyDelete/Admin