Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Wednesday, January 23, 2013

WARIOBA ATUMIWA SALAM NA WAZANZIBAR!


Written by   //  23/01/2013

Warioba: Tafadhali, Tafadhali, Tena 

Tafadhali

Warioba umekuwa unawafikia viongozi wote walio stafu ili kupata maoni yao juu ya katiba mpya ,tunacho kukumbusha na kukusisitiza tume yako isije ikajifanya hamnazo na kujifanyakumsahau Aliyekuwa Rais wa Zanziba Mzee Aboud Jumbe kwa kutumia visingizio visivyokuwa vya ukweli ,Mzee Aboud jumbe akili yake ni timamu na mawazo yake ni muhimu sana katka mchakato huu wa katiba ,mchango wake ni huhimu zaidi kuliko hata baadhi ya viongozi wengine mliofika kuwahoji
Mnyonge mnyogeni lakini haki yake mpeni (Bila ya Mzee Aboud pasingekuwapo na CCM)

Chanzo: Mzalendo


1 comment :