Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, July 23, 2013

WALIOKUFA DARFUR WAREJESHWA ZANZIBAR!

Kuwasili kwa Miili ya Marehemu waliokufa 
Dafur ikipokelea Uwanja wa Ndege jana na 
kuziko leo Mwanakwerekwe



 Bregedia Jenerali Kamanda wa Brigedi ya Nyuki Sharif  Shekh. Othman, 
akizungumza na ndugu na jamaa wa marehemu kabla ya kuwasili katika 
uwanja wa ndege wa Zanzibar jana.

 Ndege ilichukuwa  miili ya Askari wa JWTZ ikiwasili katika uwanja wa 
Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume ikitokea Dar-es-Salaam, 
tayari kwa mazishi yanayofanyika leo katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar.

Ndugu na Jamaa wa marehemu wakiwa katika uwanja wa ndege wa 
Zanzibar kupokea miili ya ndugu zao waliofarika katika jeshi la Kimataifa la kulinda 
Amaan Dafur nchini Siudan.

Wananchi wakiwa na Makamanda wa JWTZ kupokea miili ya Jamaa zao 
katika uwanja wa ndege wa Zanzibar , kwa kuwasili kwa miili hiyo ya 
marehemu kwa ajili ya maziko.

Mmoja wa Kizuka akiongozana na ndugu zake alipowasili uwanja wa 
ndege wa Zanzibar akitokea Dar kupokea mwili wa marehemu mume wake 
akifarijiwa na kuongozwa katika sehemu husika kwa ajili ya matayarishi ya mazishi .


  
Mmoja wa Kizuka akiongozana na ndugu zake alipowasili uwanja 
wa ndege wa Zanzibar akitokea Dar kupokea mwili wa marehemu 
mume wake akifarijiwa na kuongozwa katika sehemu husika kwa ajili 
ya matayarishi ya mazishi .



CHANZO: ZANZINEWS

No comments :

Post a Comment