Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, December 9, 2013

Tanzania yatimiza miaka ya Uhuru leo

NA MWANDISHI WETU

9th December 2013


Tanzania leo inaadhimisha miaka 52 ya uhuru katika sherehe zitakazofanyika kitaifa katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Tanzania  leo inaadhimisha miaka 52 ya uhuru katika sherehe zitakazofanyika kitaifa katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu, mgeni rasmi atakuwa Rais Jakaya Kikwete ambaye atakagua gharide la askari wa mvikosi vya ulinzi na usalama.

Aidha, sherehe hizo zitapambwa na halaiki, sarakati, vikundi mbalimbali vya burudani zikiwamo ngoma za asili kutoka katika baadhi ya mikoa ya Tanzania bara na Zanzibar na wimbo maalum.

Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Vijana ni nguzo ya rasilimali watu; tuwaamini, tuwawezeshe na tuwatumie kwa manufaa ya taifa letu.”.

 
CHANZO: NIPASHE

No comments :

Post a Comment