KUMBE NI KWELI KUWA TANZANIA HAS SHIFTED TOWARDS ISRAEL !!!
Balozi wa Israel Nchini Tanzania Bwana Gil Haskel akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati alipokwenda kuaga akikaribia kumaliza muda wake wa utumishi wa kidiplomasia hapa Tanzania.
Balozi Haskel akimuhakikishia Balozi Seif nia ya Serikali ya Irael kuendelea kugawa Taaluma yake iliyonayo hasa ile ya sekya ya kilimo kwa nchi washirika.
Pembezoni kushoto ni Mke wa Balozi huyo wa Israel Nchini Tanzania Bibi Haskel.
Balozi wa Israel Nchini Tanzania anayemalioza muda wake akipokea zawadi ya mlango kutoka kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif kama ishara ya kumbu kumbu ya uwepo wake nchini Tanzania.
Mke wa Balozi wa Israel Nchini Tanzania Bibi Haskel akipokea zawadi ya viungo { Spice } kutoka kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi.(Picha na Hassan Issa wa – OMPR )
Chanzo: ZanziNews
No comments :
Post a Comment