dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, July 6, 2015

Tume ya Uchaguzi Zanzibar Yatangaza Majimbo ya Uchaguzi Zanzibar

 Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC Mhe. Jecha Salim Jecha, akitangaza Mabadiliko ya Idadi, Mipaka na Majina ya Majimbo ya Uchaguzi kwa mwaka huo unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2015.Mkutano huo na waandishi wa habari umefanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Grand Palace Malindi Zanzibar leo.
Ndugu Waandishi Tume ya Uchaguzi inapenda kutoa taarifa kuwa imekamilisha kazi yake ya uchunguzi wa Idadi, Mipaka na Majina ya majimbo ya Uchaguzi. Tume imeongeza idadi ya majimbo manne ya uchaguzi ya Wawakilishi na kufanya jumla majimbo yote kuwa 54 badala ya 50 yalokuwa ya awali.
Baada ya maelezo hayo, sasa naomba niwatangazie majimbo ya uchaguzi yatakayotumika katika uchaguzi wa mwaka 2015. Soma zaidi hapa: –
   
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC Mhe. Jecha Salim Jecha, akitangaza Mabadiliko ya Idadi, Mipaka na Majina ya Majimbo ya Uchaguzi kwa mwaka huo unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2015.Mkutano huo na waandishi wa habari umefanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Grand Palace Malindi Zanzibar leo.
Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar wakifuatilia hafla hiyo ya Kutangaza Majimbo ya Uchaguzi Zanzibar ilofanywa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe Jecha Salim Jecha katika ukumbi wa Hoteli ya Grand Palace Malindi Zanzibar.




Waandishi wakifuatilia Utangazaji wa Majimbo ya Uchaguzi yaliotangazwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, katika ukumbi wa Hoteli ya Grand Palace Malindi Zanzibar.
Maofisa wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar wakifuatilia Utagazaji wa Majimbo ya Uchaguzi Zanzibar baada ya kufanyiwa marekebisho.kisheria 
Waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo wakati Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar akitangaza Majimbo ya Uchaguzi katika ukumbi wa Hoteli ya Grand Palace Malindi Zanzibar
Maofisa wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar wakifuatilia mkutano huo wa waandishi wa habari wakati wa kutangaza Majimbo ya Uchaguzi. hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa hoteli ya grand palace malindi Zanzibar

No comments :

Post a Comment