Lowassa
1. Alivunja mkataba kati ya city water na serikali
ikashinda kesi.
2. Alisimamia kidete katika kubatilisha matumizi ya
maji ya ziwa victoria dhidi ya mkataba wa kikoloni
na hivyo kupelekea watanzania kuanza kunufaika
na maji ya ziwa victoria.
3. Alisimamia kwa nguvu uanzishwaji na ujenzi wa
shule za kata lakini alivyotoka serikalini
utekelezaji ukawa wa hovyo.
4. Alitaka kuvunja mkataba wa Richmond lakini
mamlaka za juu zikaingilia.
5. Alitoa kauli iliyosababisha nchi ya Malawi kuufyata
baada ya kuleta choko choko dhidi ya Tanzania.
1. Alikamata meli ya samaki kwa mbwembwe na
hivyo kuitia hasara serikali mabilioni ya shilingi
2. Alisimamia uvunjwaji wa kituo cha mafuta kule
3. Hana kauli nzuri kwa watanzania pale aliposema
Magufuli
1. Alikamata meli ya samaki kwa mbwembwe na
hivyo kuitia hasara serikali mabilioni ya shilingi
kwa kushindwa kesi mahakamani.
2. Alisimamia uvunjwaji wa kituo cha mafuta kule
mwanza na serikali ikashindwa kesi na hivyo
kupata hasara ya mamilioni.
3. Hana kauli nzuri kwa watanzania pale aliposema
watakao shindwa kulipa nauli ya kivuko cha
kigamboni wapige mbizi.
http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/897357-tofauti-ya-lowassa-vs-magufuli.html
http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/897357-tofauti-ya-lowassa-vs-magufuli.html
No comments :
Post a Comment