Sehemu ya wapenzi na wafuasi wa CUF waliohudhuria mkutano kufunga kampeni katika viwanja vya Tibirinzi Pemba leo hii
Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Maji Mkongwe, Mhe Sanya akiwanasihi wafuasi wa CUF kuwapigia kura viongozi wao katika mkutano kufunga kampeni katika viwanja vya Tibirinzi Pemba leo hii
Watoa huduma ya kwanza wakimbeba mmoja wa waliohudhuria Mkutano wa CUF baada ya kuzimia
Mgombea Uwakilishi wa jimbo la Malindi, Mhe Ismail Jussa akimwaga sera na kuwanasihi wafuasi wa CUF kuwapigia kura viongozi wao katika mkutano kufunga kampeni katika viwanja vya Tibirinzi Pemba leo hii
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha wananchi CUF Mhe: Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na wanachama na wafuasi wa CUF katika mkutano wa kufunga kampeni kisiwani Pemba uliofanyika viwanja vya Tibirinzi leo hii
No comments :
Post a Comment