Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, October 9, 2015

ZANZIBAR YABORESHA HUDUMA ZA AFYA!



Image result for DR ALI SHEIN
Dr Ali Mohammed Shein, Rais wa Zanzibar aboresha huduma za afya nchini kwa wananchi.

"Tuko Mnazi Mmoja Hospital. Wenzetu (Madaktari) wanatueleza kuwa wameitwa na Mkurugenzi wa Mnazi Mmoja Hospital named Jamala na kupewa maagizo rasmi kuwa kuanzia tarehe 12 ya kesho kutwa huduma zote za X - rays, CT scan, Ultrasound, Mabara pamoja na maternity zitolewe bure na kwamba hilo ni agizo kutoka kwa Rais". As received!

No comments :

Post a Comment