Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, December 21, 2015

TAWI LA CCM NEW YORK WAKUTANA NA KUONGELEA MAENDELEO YA TAWI LAO NA KUTUMA PONGEZI KWA RAIS WA WAMU YA 5 DKT MAGUFULI.

Hapa ni meza kuu mwenyekiti wa tawi Seif Akida akiwa na Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Ramadhan Mwinyi kama mgeni rasmi. Viongozi wa Tawi la CCM New York walikutana na Watanzania kuzungumzia maendeleo ya tawi na pia kujipongeza kwa CCM kutoa Rais mwingine kuongoza Tanzania kwa awamu ya 5. Rais huyo ni Dkt Pombe Magufuli  ni Rais mteule kutoka chama tawala CCM na toka aingia madarakani ameshajijengea heshima kutokana na utendaji kazi wake wenye kauli mbiu ya 
#HAPA KAZI TU.#
Mh. Balozi akipata ukodak na viongozi wa tawi kama ukumbusho ukumbini hapo picha zingine za balozi na Watanzania nenda soma zaidi.

No comments :

Post a Comment