Rais na Mwenyekiti wa Zanzibar-Canadian Diaspora Association (ZACADIA) Shk Omar Ali Said akionekana hapa juu akiongoza ujumbe wa Canada wakati wa kufunguliwa kwa kongamano la Diaspora la mwaka 2016 huko Zanzibar, kwenye kijiji cha Mazizini, katika hoteli ya Zanzibar Beach Resort, hii leo asubuhi.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment