dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Sunday, February 5, 2017

Iran yawaruhusu wamarekani kuingia nchini mwake!


Iran
imetangaza kukubalia kikosi cha wanamieleka wa Marekani kushiriki mashindano ya dunia, yatakayofanyika nchini humo baadaye mwezi huu.

Awali Iran walisema kuwa wamarekani hawatakubaliwa kushiriki mashindano hayo.

Walinyimwa visa, baada ya Iran kusema kwamba itawapiga marufuku raia wa Marekani kama jibu kwa marufuku ya Rais Donald Trump kwa wairan kuzuru Marekani.

Wizara ya nchi za kigeni mjini Tehran, imesema kwamba, uamuzi wake wa sasa wa kuwakubalia wanamieleka wa Marekani ni sehemu ya uamuzi wa mahakama nchini Marekani kuahirisha kwa muda amri hiyo kuu ya Trump.

No comments :

Post a Comment