Ziara ya Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa inaendelea mkoani Kagera ambapo March 24, 2017 alifika katika Bandari ya Bukoba na kukutana na swali la Meya wa Manispaa hiyo Chief Kalumna ambaye alitaka ufafanuzi wa Waziri kuhusu ahadi ya meli iliyotolewa na Serikali ambayo hadi leo haijatekelezeka.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

No comments :
Post a Comment