dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Thursday, June 29, 2017

VIDEO: CHADEMA Wamvaa Rais Mwinyi!


Baraza la Wazee wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakiongozwa na Katibu mkuu wao Roderick Lutembeka wamelaani kauli ya Aliyoitoa Rais mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassani Mwinyi, kwamba Kama isingekuwa Katiba basi Rais Magufuli angeendelea kuwa Rais bila kikomo.
Hata hivyo Wametazamisha kuwa hata kwa nchi jirani husani Rwanda mambo yalianza hivo hivo kwakupata hamasa ya watu na baadae Kagame akagoma kutoka madarakani.






No comments :

Post a Comment