Naibu katibu Mkuu wa CUF, Magdalena Sakaya amevunja ukimya na kutaka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kuacha mara moja kuchochea na kuingilia mgogoro wa CUF.
Sakaya ameyasema hayo leo katika ofisi kuu ya CUF Buguruni na kwenda mbali zaidi kuwa chama cha Cuf kinasikitishwa na na kitendo walichofanya Chadema. Na kusema kuwa wako tayari kupambana na Chadema kwa namna yoyote ile.
Naibu katibu huyo ameviomba vyombo vya dola kuchukua hatua dhidi ya Chadema.
Sakaya ameyasema hayo leo katika ofisi kuu ya CUF Buguruni na kwenda mbali zaidi kuwa chama cha Cuf kinasikitishwa na na kitendo walichofanya Chadema. Na kusema kuwa wako tayari kupambana na Chadema kwa namna yoyote ile.
Naibu katibu huyo ameviomba vyombo vya dola kuchukua hatua dhidi ya Chadema.
No comments :
Post a Comment