dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Sunday, December 10, 2017

FULL VIDEO: Babu Seya na Papi Kocha wakitoka Gerezani!


Mwanamuziki Mkongwe Nchini Nguza Viking ' Babu Seya' na mwanae Papii Kocha leo wameachiwa huru gerezani walipokuwa wakitumikia kifungo cha maisha jela. Babu Seya na Papii ambao walihukumiwa kifungo hicho mwaka 2004 ni miongoni mwa wafungwa zaidi ya 8000 waliopata msamaha huo katika siku ya Uhuru kutoka kwa Rais Dk John Magufuli.

No comments :

Post a Comment