Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Alhajj Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waumini wa Dini ya Kiislam Mkoani Dodoma baada ya kumalisa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Nunge Mjini Dodoma na kutowa nasaha zake kwa waumini.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Alhajj Ali Mohamed Shein,akizungumza na kutowa nasaha zake kwa Waumini wa Dini ya Kiislam Mkoani Dodoma baada ya kumaliza Ibada ya Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Nunge Dodoma.
Waumini wa Dini ya Kiislam Mkoani Dodoma wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akitowa nasaha zake kwa waumini hao baada ya Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Nunge Dodoma Mjini.
No comments :
Post a Comment