dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Thursday, December 14, 2017

Wananchi Visiwani Zanzibar Wakishiriki na Kuungana na Wanafamilia Katika Mazishi ya Wapiganaji Wetu!

Leo ilikuwa ni siku ya huzuni kwa Watanzania hususan kwa Wazanzibari ambapo wapiganaji (JWTZ) wetu kutoka Zanzibar 9 tuliwaaga. Mmoja kati ya hao waliofariki huko DRC anaitwa Koplo Issa Mussa ambae alizikwa katika kijiji cha Ndijani, Wilaya ya Kati huko Mkoa wa Kusini Unguja. Katika maziko hayo Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iliwakilishwa na Waziri wa Afya Mhe. Mahmoud Thabit Kombo. Mupumzike kwa Amani Mashujaa wetu #Tanzania #Zanzibar

Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe.Simai Mohammed Said na Waziri wa Afya Zanzibar wakishiriki katika mazishi ya mmoja wa Wanajeshi aliyefariki katika mapambano na waasi Nchini Congo wakilinda Amaani


No comments :

Post a Comment