Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Thursday, January 25, 2018

Changamoto Nyingi Zinazowahusu Wananchi Zinaweza Kuondoka -Balozi Seif!

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akifanya ziara ya kukagua shughuli za maendeleo na kuona changamoto zinazowakabili Wananchi wa Jimbo la Mwanakwerekwe.
Balozi Seif akisalimiana na Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Mwanakwerekwe “C” wakati akiwa katika ziara ya kuangalia shughuli za Maendeleo ndani ya Jimbo la Mwanakwerekwe.
Balozi Seif akiupongeza Uongozi wa Jimbo la Mwanakwerekwe kwa hatua yake ya kujenga Kituo cha Kazi ya Wahasiriamali kwa Vijana wa Jimbo hilo.Kulia ya Balozi Seif ni Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mh. Ayoub Mohamed Mahmound na Mwakilishi wa Jimbo la Mwanakwerekwe Mh. Abdullah Ali Kombo.
Balozi Seif akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Mwanakwerekwe katika Mkutano wa majumuisho ya ziara yake hapo Meli Nne Saccoc.
Baadhi ya Wananchi wa Jimbo la Mwanakwerekwe wakiwa katika Ukumbi wa Mikutano wa Meli Nne Saccoc kutoa changamoto zao kwenye Mkutano wa Majumuisho wa Ziara ya Balozi Seif.

Baadhi ya Wananchi wa Jimbo la Mwanakwerekwe wakiwa katika Ukumbi wa Mikutano wa Meli Nne Saccoc kutoa changamoto zao kwenye Mkutano wa Majumuisho wa Ziara ya Balozi Seif.

No comments :

Post a Comment