Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, February 13, 2018

MWALIMU AFARIKI KWA KUKOSA PESA YA KUNUNUA DAWA YA MAFUA!

Mwanamke mmoja anayejulikana kwa jina la Heather Holland, 38, ambaye alikuwa mwalimu amefariki dunia baada ya kushindwa kununua dawa ya mafua kutokana na gharama yake kuwa kubwa nchini Marekani.

Kwa mujibu wa mume wa marehemu Frank Holland, mkewe alipokwenda hospitali alikuta dawa hizo za mafua ni Dola za Marekani 116 ambayo ni sawa na Tshs 278, 000 hivyo akaamua kuacha kununua jambo lililosababisha kifo chake.

Frank amesema alikwenda kununua dawa hizo siku moja kabla ya kifo cha mkewe ili aanze kuzitumia lakini alikuwa amekwisha chelewa.

Heather ambaye alikuwa mwalimu wa Ikard Elementary School huko Weatherford, Texas ameacha mume na watoto wawili, wa kike mwenye miaka 10 na mwingine wa kiume mwenye miaka 7.

No comments :

Post a Comment