| Swahili Times
Rais Museveni ameiagiza Wizara ya Fedha kuanzisha kodi ya mitandao ya kijamii (WhatsApp, Facebook, Twitter, Skype, Viber) ili kuongeza mapato ya serikali.
Rais Museveni amesema, matumizi ya mitandao kwa ajili ya elimu, tafiti yasitozwe kodi, bali wale wanaotumia kusambaza umbea.
Rais Museveni amesema, matumizi ya mitandao kwa ajili ya elimu, tafiti yasitozwe kodi, bali wale wanaotumia kusambaza umbea.
No comments :
Post a Comment