Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Wednesday, May 9, 2018

Wabunge watano wajiuzulu kwa kuwa na uraia wa nchi mbili!


Wanasiasa watano nchini Australia wamelazimika kujiuzulu kutokana na kugundulika kuwa na uraia wa nchi mbili kipindi ambacho walichanguliwa kushika nafasi hizo.
Mwaka jana, wabunge 10 nchini humo pia walivuliwa ubunge kutokana na kuwa na uraia wa nchi mbili tofauti na katiba inavyohitaji kwa wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi.

Suala la uraia wa nchi mbili linatajwa kuyumbisha Bunge na serikali ya Australia kwa ujumla tangu mwezi July, 2017 na limewahi kuhatarisha baraza la mawaziri.

No comments :

Post a Comment