RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza mgeni wake Balozi wa Misri Nchini Tanzania Mhe. Gaber Mohamed, wakati wa mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Zanzibar alipofika kujitambulisha leo,28-1-2019.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na mgeni wake Balozi wa Misri Nchini Tanzania Mhe.Gaber Mohamed, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha leo.28-1-2019.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiongozana na mgeni wake wakitoka katika ukumbi Balozi wa Misri Nchini Tanzania. Mhe. Gaber Mohamed, baada ya kumaliza mazungumzo yao, yaliofanyika Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu) .
No comments :
Post a Comment