Written by SHAMUHUNA // 27/12/2012
Leo Jeshi la polisi Zanzibar limewakamata Viongozi wengine wa Jumuiya ya UAMSHO maeneo ya Mwanakwerekwe Zanzibar!
Viongozi waliokamatwa ni pamoja na Katibu wa Jumuiya ya UAMSHO Sheikh Abdallah Madawa na Sheikh Fikirini Majaliwa.Masheikh hao walikamatwa wakati wakiwa wameenda kusikiliza kesi ya viongozi wengine wa UAMSHO.
Kukamatwa kwao kumekuja siku mbili tangu padri mmoja apigwe risasai maeneo ya Tomondo.
Habari zaidi zitawajia.
Source Jamii Forums/Mzalendo
No comments :
Post a Comment