Tamasha hilo linalotarajiwa kuwaleta pamoja washiriki 500 kutoka ndani na nje ya nchi wakiwemo wawekezaji, watunga sera, wafanyabiashara wakubwa na washirika wa maendeleo linalenga kutanua wigo wa uwekezaji Zanzibar na Tanzania kwa ujumla hasa atika sekta ya Uchumi wa Buluu.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Friday, May 1, 2026
DIASPORA DAY & ZANZIBAR INVESTMENT SUMMIT - 2026!
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

No comments :
Post a Comment