Waislam wakutana Mwembeyanga na kuazimia kuinyima kura CCM 2015
Mamia ya waumini wa dini ya Kiislamu wakiwa kwenye mkutano katika viwanja vya Mwembeyanga,Temeke Jijini Dar es Salaam jana.
Written by Wamtambwe // 18/08/2013
Waislam wakutana Mwembeyanga na kuazimia kuinyima kura CCM 2015
Mkutano wa Waislamu ulikuwa ukifanyika Mwembeyanga siku ya leo, pamoja na maazimio mengine; umeamua kuwa waislamu wote wasiipe kura CCM 2015 lakini vile vile wametangaza kuratibu maandamano nchi nzima kupinga kile waliichokiita uonevu dhidi ya Sheikh Ponda…
Source: Aloyce Mpandama (The Guardian Reporter) Eneo la Tukio
No comments :
Post a Comment