Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akiwa hajui la kufanya baada ya wananchi wa Mloganzila nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam walipozuia msafara wake wakati alipokwenda kusikiliza malalamiko ya wakazi hao kuhusu ardhi inayogombewa kati yao na chuo kikuu kishiriki cha Muhimbili (MUHAS), jana.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment