Spika wa Bunge, Anna Makinda (Kulia) akizungumza na Mkurugenzi wa Habari, Elimu kwa Umma na Uhusiano wa Kimataifa wa Bunge, Jossey Mwakasyuka baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro, jana, kwa ajili ya kushiriki kwenye mkutano wa Mwaka wa Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali kwa nchi wananchama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC), unatalajiwa kuanza leo jijini Arusha.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
No comments :
Post a Comment