Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad akisoma hotuba kwa niaba ya Rais wa Zanzibar kwenye ufunguzi wa maonyesho ya Biashara ya India yanayofanyika katika uwanja wa Biashara ya Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana. Wengine ni Waziri wa Nchi anayeshughulikia Biashara na Viwanda wa India,DPurandeswari (kulia) na Balozi wa India nchini, Debnath Shaw. PICHA:SELEMANI MPOCHI
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment