Katibu wa Chama cha Wafanyakazi wa Ujenzi, Migodi na Madini (Tamico) Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, Charles Mgishi, akitangaza maamuzi ya kikao baina ya uongozi wa kampuni ya ujenzi ya Kijerumani ya Strabag, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na chama hicho kwa wafanyakazi wa kampuni hiyo walioanza mgomo wa kutofanya kazi jana. Wafanyakazi hao wakidai kutolipwa malipo ya ziada na mishahara mipya kama ilivyotangazwa na serikali Julai mwaka huu.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
No comments :
Post a Comment