Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Dodoma Jerome Mbano akionyesha mfano kwa kumpima Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi kwa kutumia kifaa kinachotumiwa na Askari hao kupimia ulevi kwa Madereva katika kilele cha wiki ya usalama barabarani mkoani hapa wiki iliyopita.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
No comments :
Post a Comment