zanglassworks

AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Wednesday, November 13, 2013

Buriani Dkt. Sengondo Mvungi

Dkt. Sengondo Mvungi, aliyekuwa  mjumbe wa Tume ya Marekebisho ya Katiba Mpya na kiongozi wa NCCR-Mageuzi
Dkt. Sengondo Mvungi, aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Marekebisho ya Katiba Mpya na kiongozi wa NCCR-Mageuzi
Wakati ikiwa ni jana tu ambapo Waziri wa mambo ya ndani Dkt . Emmanuel Nchimbi alitangaza kushikiliwa kwa watu tisa wanaotuhumiwa kuhusika na ujambazi aliofanyiwa Dkt. Sengondo Mvungi aliyekua mjumbe wa Tume ya Marekebisho ya Katiba Mpya na kiongozi wa NCCR-Mageuzi.
Habari zilizopatikana jioni hii zinasema kwamba mjumbe huyo wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dakta Sengodo Mvungi amefariki dunia majira ya saa tisa alasiri; katika hospitali ya Mill Park huko Afrika ya Kusini alipokuwa akipata matibabu ya majeraha ya mapanga.
Dkt. Mvungi alijeruhiwa kwa kukatwa katwa  mapanga kichwani usiku wa kuamkia Jumapili Oktoba 3 Mwaka huu nyumbani kwake Kibamba Msakuzi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam na kulazwa Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (Moi) na baadaye kuhamishiwa Hospitali ya Mill Park, Johannesburg, Afrika Kusini.
Dkt. Mvungi akisindikizwa kupanda ndege kupelekwa nchini Afrika Kusini kwa matibabu zaidi.
Dkt. Mvungi akisindikizwa kupanda ndege kupelekwa nchini Afrika Kusini kwa matibabu zaidi.
cHANZO: zANZIBARIyETU

No comments :

Post a Comment