zanglassworks

AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, November 1, 2013

Ligi ya Muungano ya mpira wa wavu yamalizika Zanzibar

Mkuu wa Wilaya Mjini Unguja Abdi Muhmud Mzee akimkadhi Kombe kepteni wa Timu ya Mafunzo Elizabeth John mara baada ya kumaliza mchezo wake na Magereza na kuchukua nafasi ya pili ya ligi ya Muungano iliyofanyika kiwanja cha Jimkana Mjini Zanzibar jana
Mkuu wa Wilaya Mjini Unguja Abdi Muhmud Mzee akimkadhi Kombe kepteni wa Timu ya Mafunzo Elizabeth John mara baada ya kumaliza mchezo wake na Magereza na kuchukua nafasi ya pili ya ligi ya Muungano iliyofanyika kiwanja cha Jimkana Mjini Zanzibar jana
Mkuu wa Wilaya Mjini Unguja Abdi Muhmud Mzee akimkadhi Kombe kepteni wa Timu ya JKT Mwanaidi Hasan. Baada ya Timu hiyo kutwaa ubingwa wa Netboll katika ligi ya Muungano Picha zote kwa hisani ya Makame Mchenga
Mkuu wa Wilaya Mjini Unguja Abdi Muhmud Mzee akimkadhi Kombe kepteni wa Timu ya JKT Mwanaidi Hasan. Baada ya Timu hiyo kutwaa ubingwa wa Netboll katika ligi ya Muungano
Rais wa Chaneta Bi. Anna Kibira akizungumza na wachezaji mara baada ya kumaliza kwa ligi ya Muungano iliyofanyika Jimkana Mjini Zanzibar jana. Kushoto mgeni Rarmi Mkuu wa Wilaya Mjini Unguja Abdi Muhmud na katikati Rais wa Chaneza Bi. Rahma Ali Khamis
Rais wa Chaneta Bi. Anna Kibira akizungumza na wachezaji mara baada ya kumaliza kwa ligi ya Muungano iliyofanyika Jimkana Mjini Zanzibar jana. Kushoto mgeni Rarmi Mkuu wa Wilaya Mjini Unguja Abdi Muhmud na katikati Rais wa Chaneza Bi. Rahma Ali Khamis
Mchezaji Amina Shada (GK) wa timu ya Magereza akidaka mpira mbele ya mchezaji Dela wa Timu ya Mafunzo ya Zanzibar katika ligi ya Netboll ya Muungano iliyofanyika kiwanja cha Jimkana Mjini Zanzibar jana. Mafunzo ilishinda 51 kwa 39
Mchezaji Amina Shada (GK) wa timu ya Magereza akidaka mpira mbele ya mchezaji Dela wa Timu ya Mafunzo ya Zanzibar katika ligi ya Netboll ya Muungano iliyofanyika kiwanja cha Jimkana Mjini Zanzibar jana. Mafunzo ilishinda 51 kwa 39. Picha zote kwa hisani ya Makame Mchenga – Maelezo Zanzibar

No comments :

Post a Comment