Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, akionyesha nakala ya kile alichokieleza kuwa ndiyo mpango wa mabadiliko 2013 uliosababisha adhabu ya kuvuliwa nyadhifa za aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Zitto Kabwe, na Dk. Kitila Mkumbo, wakati akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya chama hicho, Kinondoni jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi wa Habari wa chama hicho, John Mnyika.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
No comments :
Post a Comment