dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, December 17, 2016

Idara ya Diaspora Yatowa Semina kwa Masheha Zanzibar!


Afisa wa Idara ya Diaspora Zanzibar Ndg Ameir Haji,akitowa mada kuhusiana na Faida ya Wazanzibar Wanaoishi Nje ya Nchi maarufu kwa jina la Diaspora, wakati wa semina hiyo ilioandaliwa na Idara ya Diaspora Zanzibar kwa Masheha wa Mkoa wa Mjini Unguja iliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari Mnazi Mmoja. Ilifunguliwa na Mkuu wa Wilaya ya Mjini Mhe Marina Thomas. 
Afisa wa Idara ya Diaspora Zanzibar akisisitiza jamba wakati wa semina hiyo kutowa faida ya Diaspora ilioandaliwa na Idara hiyo na kuwashirikisha Masheha wa mbalimbali wa Mkoa wa Mjini Unguja.

Masheha wa Mkoa wa Mjini wakifuatilia semina hiyo ya Faida ya Diaspora. 








No comments :

Post a Comment