dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Wednesday, July 5, 2017

Wakili afunguka kuhusu Rufaa ya Kesi ya Uamsho!



Wakili wa upande wa utete katika kesi inayowakabili Mashekh 22 wanaotuhumiwa kwa Ugaidi ameeleza kuwa Mahakama ya rufaa imekubali rufaa ya Mkuregenzi wa Mashtaka wa Serikali.

wakili Juma Nassoro ametoa ufafanuzi juu ya rufaa hiyo leo na kwamba kesi hiyo itaendelea kutajwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

No comments :

Post a Comment