dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, August 5, 2017

CUF wamjibu Spika wa Bunge, baada ya kusema hamtambui Seif!

Siku moja baada ya Ofisi ya spika wa bunge wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kutamka haitambui mamlaka ya Maalimu Seif kwasasa na badala yake taarifa walizonazo kutoka kwenye cha CUF ni kmwamba nafasi ya katibu mkuu Maalimu Seif inakaimiwa na Magdalena Sakaya. Leo August 5, upande wa CUF wa Katibu mkuu Maalim Seif umeibuka na kulizungumzia suala hilo

No comments :

Post a Comment