dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, August 8, 2017

YALI YOJIRI LEO RAIS DKT. MAGUFULI ALIPOHITIMISHA ZIARA YAKE YA KIKAZI YA SIKU TANO MKOANI TANGA!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza kushuhudia uzinduzirasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji wa Korogwe mkoani Tanga katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza kushuhudia uzinduzirasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji wa Korogwe mkoani Tanga katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapongeza madiwani na viongozi wengine baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wananchi baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wananchi baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wananchi baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akienda kuagana na wananchi baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na mmoja wa wa wananchi baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Moja ya mabango yaliyokuwa na ujumbe wa changamoto mbalimbali za Korogwe
Wengi walikuwa na kiu ya kusikilizwa kero zao
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza diwani wa kata ya Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Wananchi wakimshangilia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliposimama kwa muda na kuongea nao katika kata ya Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Kikosi kazi cha TBC kikirusha mubashara matukio yote ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. Hapa ni katika Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Kikosi kazi cha TBC kikirusha mubashara matukio yote ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. Hapa ni katika Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitambulisha viongozi alioongozana nao kwa wananchi wa kata ya Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsimiliza mwalimu wa shule ya msingi ya Msima aliposimama kuzungumza na wananchi kata ya Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigella akielezea changamoto mbalimbali za wananchi wa kata ya Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi shilingi milioni 5 taslimu Mwalimu Mkuu wa Shule ya msingi ya Msima kwa ajili ya ujenzi wa vyoo vya shule katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ukiingia mjini Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika nyumba ya aliyekuwa Mbunge wa Handeni Marehemu Alhaj Dkt. Abfdallah Kigoda katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Tanga leo Agosti 7, 2017. Pamoja naye ni mjane wa marehemu Mama Kigoda, dada wa Marehemu Mhe, Asha Kigoda na mtoto wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Omari Abdallah Kigoda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli waakitoa heshima zao kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Handeni Marehemu Alhaj Dkt. Abdallah Kigoda nyumbani kwa marehemu mjini Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Tanga leo Agosti 7, 2017. Pamoja naye ni mjane wa marehemu Mama Kigoda, dada wa Marehemu Mhe, Asha Kigoda na mtoto wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Omari Abdallah Kigoda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli waakitoa heshima zao kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Handeni Marehemu Alhaj Dkt. Abfdallah Kigoda nyumbani kwa marehemu mjini Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Tanga leo Agosti 7, 2017. Pamoja naye ni mjane wa marehemu Mama Kigoda, dada wa Marehemu Mhe, Asha Kigoda na mtoto wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Omari Abdallah Kigoda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli waakitoa heshima zao kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Handeni Marehemu Alhaj Dkt. Abfdallah Kigoda nyumbani kwa marehemu mjini Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Tanga leo Agosti 7, 2017. Pamoja naye ni mjane wa marehemu Mama Kigoda, dada wa Marehemu Mhe, Asha Kigoda na mtoto wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Omari Abdallah Kigoda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akilakiwa na Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe alipowasili wilayani humo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe akipungia wanannchi alipowasili katika uwanja wa mikutano wa Kibaoni kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwakipungia wananchi wa Handeni alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia wananchi alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia wananchi alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia wananchi alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia viongozi wa dini na wananchi alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe akikaribisha wageni wake wilayani humo katika siku ya mwisho ya ziara Rais ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017


Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimia wananchi wa Handeni katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara ya Rais ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe akitolea ufafanuzi baadhi ya changamoto wilayani humo leo Agosti 7, 2017
Mmoja wa wananchi wa Handeni akitoa kero zake mbele ya Rais Magufuli
Rais Magufuli akimfariji mwananchi huyo kwa matatizo yaliyomsibu
Mmoja wa wananchi wa Handeni akitoa kero zake mbele ya Rais Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuliakiagana na viongozi na wananchi wa Handeni baada ya kuwahutubia katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuliakiagana na viongozi na wananchi wa Handeni baada ya kuwahutubia katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Msafara wa Rais Magufuli ukiendelea na safari
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na wananchi wa Manga aliposimama kwa muda kuongea nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Mbunge wa Handeni Vijijini Mhe. Mboni Mhita akitolea ufafanuzi masuala mbalimbali wakati Rais Magufuli aliposimama kwa muda katika kijiji cha Kwachaga 
Mafundi mitambo wa TBC wakiwa makini kuhakikisha matangazo yanaruka mubashara bila shida
Mkulima wa kijiji cha Manga akieleza kero wazipatazo kwa wafugaji katika kata ya Kwachuma
Mmoja wa viongozi wa wafugaji akifafanua hali ilivyo kata ya Kwachuma
Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe akitoa maelezo ya changamoto mbalimbali katika kata ya Kwachuma
Rais Dkt. Magufuli akiagiza kuondolewa kwa Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Mazingara baada ya wananchi na Mkuu wa Wilaya kudai amekuwa akitoa uamuzi usiotoa haki kwa wakulima
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigella akimuaga rasmi Rais Dkt. Magufuli na kumshukuru kwa kutembelea mkoa huo kwa siku tano
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimia wananchi wa kata ya Kwachuma.


No comments :

Post a Comment